Nd. Jeremiah,
Nafikiri, hakuna programmu mingi zinatumia Kiswahili. Lakini
mkitafsiri, watu watapata hapo. Nafikiri tunaweza kuandika programmu
Weblate itumia amaGama. Mtu wa Fedora alionyesha amaGama, tutaona kama
wataitumia pia.
Ndimi,
Benson
On 11/20/19 2:01 PM, Jeremiah Rotich wrote:
Asante Bw Benso,
Nimeitazama amaGama na kwa mtazamo wangu naona ni kama hauna tafsiri nyingi katika lugha ya Kiswahili. Nitafanya mawasiliano nao ili nione jinsi tunavyoweza kushirikiana.